Libya imepitisha sheria itayopiga marufuku maafisa kutoka serikali ya hayati Kanali Gaddafi kushika wadhifa sasa.
Walisema hawataondoka hapo hadi sheria hiyo ipitishwe.
Ilipokubaliwa walianza kusherehekea.
Sheria hiyo itawaathiri maafisa waandamizi wa serikali pamoja na waziri mkuu, Ali Zeidan.
No comments:
Post a Comment