Hali nchini Syria inaendelea kuzorota huku wahusika kwenye mgogoro wakikosa mwafaka.
Upinzani rasmi nchini Syria, umefanya mazungumzo kwa siku ya pili, Ijumaa ukitaka kutafuta namna watakavyohusika na kongamano hilo.
"tunaweza kusema kuwa tumepokea ujumbe kutoka kwa serikali ya Syria kuwa itahudhuria kongamano hilo kwa niaba ya watu wa Syria kusukuma ajenda ya amani na mapatano kutumia njia za kisiasa,'' alisema msemaji wa wizara ya mambo ya nje wa Urusi Alexander Lukashevich.
Marekani imeandaa kongamano hilo ili kutafuta mwafaka wa kisiasa kwa mgogoro wa Syria
No comments:
Post a Comment